johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,731
- 141,595
Hahahaaa!! Huyu Halima Mdee utadhani hakusoma chuo kimoja na Tundu Lisu chini ya Mwalimu Prof Pakamagamba Kabudi.Watakuwa waliambiwa na Ndugai waende kwa msajili maana wanatapatapa, wajinga kweli badala ya kwenye mahakamani wao wamefuata maelezo ya Ndugai