Nchi hii ukifa kwa stress labda itakua ni kwa sababu ya TOZO ila sio kwa comedy za siasa za Tanzania.
Anayejiita Msajili wa Vyama Vya siasa ameitaka Chadema kupeleka maelezo kwake kwa "Kosa" la kumkashifu Rais kuwa amesema "Uongo"!!
Nchi hii ukifa kwa stress labda itakua ni kwa sababu ya TOZO ila sio kwa comedy za siasa za Tanzania.
Anayejiita Msajili wa Vyama Vya siasa ameitaka Chadema kupeleka maelezo kwake kwa "Kosa" la kumkashifu Rais kuwa amesema "Uongo"!!
Nchi hii ukifa kwa stress labda itakua ni kwa sababu ya TOZO ila sio kwa comedy za siasa za Tanzania.
Anayejiita Msajili wa Vyama Vya siasa ameitaka Chadema kupeleka maelezo kwake kwa "Kosa" la kumkashifu Rais kuwa amesema "Uongo"!!
Yale yale ya Mwendazake!
Hapa tu-connect dots na uamuzi wa kulifungia gazeti la Uhuru.
Nahisi inatafutwa sababu ya kuifuta CHADEMA huko mbeleni, ila naamini Mungu kamwe hatoruhusu hilo litokee.
Tuendelee kuamini- kwa wanaoamini- Mama anapotoshwa?
Naiona CHADEMA ikipata support ya dunia kama ilivyokuwa ANC wakati wa utawala wa Makaburu huko Afrika Kusini.
Vinatakiwa vifutwe vyote kiundwe chama kimoja maana hakuna chama chenye hati miliki ya nchi.vyama vyote vina sifa sawa za usajili.tofauti tu nikwamba ccm imerithi nchi toka ukoloni lakini hiyo sio sababu yachenyewe kua mmiliki wa nchi.Kwanini wanahangaika hivyo,kwanini wasifute vyama vya upinzani tubaki na chama kimoja.
Covid 19 Bungeni kwa uongo wa CCM mbona hakuwa upande wa chama kinachowatambua.
Mtungi futa vyama vya upinzani