YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Kazi ya ruzuku Ni ipi? Kutibia Viongozi wa vyama au kuwalipia faini wakifanya uhalifu? Msajili wa vyama tusaidie.Mbowe alichukua pesa za ruzuku milioni 400 kea kile kinachoitwa kumtibia Lisu.Wateuana kikundi Cha wezi watatu Mbowe,Godbless Lema na Msigwa wakaa muda mrefu Sana Nairobi wakilipwa pesa za kigeni za ruzuku ya chama kwa kile walichokiita kumuuguza Tundu Lisu Hali wakijua wazi kuwa wao sio madaktari Wala manesi.Walikuwa wakiuguza Nini? Mke wa Lisu alikuwa kule
Msajili tusaidie hili genge la watu wezi watatu walikuwa wakiuguza Nini Nairobi?
Mbowe alichukua milioni 400 kwa kinachoitwa matibabu ya Lisu.Swali Ni je hiyo ndio kazi ya Ruzuku ? Kulipia matibabu na kulipia watu wanajiita waiguzaji wakati fani ya uuguzi hawana ? Mbowe Ni form six division zero,Msigwa mchungaji wa Kanisa la mfukoni hata ukimwambia aonyeshe lilipo hawezi na Godbless Lema alikuwa mwizi wa magari.Walikuwa wanauguza nini
Msajili tusaidie hili genge la watu wezi watatu walikuwa wakiuguza Nini Nairobi?
Mbowe alichukua milioni 400 kwa kinachoitwa matibabu ya Lisu.Swali Ni je hiyo ndio kazi ya Ruzuku ? Kulipia matibabu na kulipia watu wanajiita waiguzaji wakati fani ya uuguzi hawana ? Mbowe Ni form six division zero,Msigwa mchungaji wa Kanisa la mfukoni hata ukimwambia aonyeshe lilipo hawezi na Godbless Lema alikuwa mwizi wa magari.Walikuwa wanauguza nini