johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,754
- 141,616
Huu sasa umekuwa kama mwimbo kila siku msajili wa vyama vya siasa analalamika Chadema na ACT wazalendo kutaka kuungana kinyume cha sheria.
Kwanini Dkt. Nyahoza asisubiri tu hivyo vyama viungane kisha avifutilie mbali.
Ni simple tu badala ya kuwa anatuimbia daily tunachoka bhana.
Maendeleo hayana vyama!
Kwanini Dkt. Nyahoza asisubiri tu hivyo vyama viungane kisha avifutilie mbali.
Ni simple tu badala ya kuwa anatuimbia daily tunachoka bhana.
Maendeleo hayana vyama!