mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,572
- 9,809
"Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mutungi amesema anafuatilia kwa makini sana uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA kuhakikisha katiba inafuatwa na haki inatendeka kwa wagombea wote"
Kuna kila dalili za kuyaogopa majina ya Mbowe na Lissu hapo. Wanachama wa CDM shikilieni hapo hapo, ikiwezekana na nafasi ya Katibu Mkuu mpeni kabisa Heche ili muelekee vizuri ktk uchaguzi wa 2020.
Kuna kila dalili za kuyaogopa majina ya Mbowe na Lissu hapo. Wanachama wa CDM shikilieni hapo hapo, ikiwezekana na nafasi ya Katibu Mkuu mpeni kabisa Heche ili muelekee vizuri ktk uchaguzi wa 2020.