Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Ameshindwa kumfuatilia mme wake Ije kuwa Chadema itakuwa anaumwa huyo.
Vizuri na vipi ile kauli aliyoitoa Bashiru kule Zanzibar kuhusu kumwambia msajili kama akiitwa na mabeberu akienda kuzungumzia uchaguzi wa serekali za mitaa hana kazi mbona mpaka sasa hajalizungumza hiloMsajili Asimame haki watu wasidhulumiwe haki zao
Hatutakubali wagombea wanyanyaswe sababu ya ubabe wa kina Lema
Tutazipiga
Kwa ulivokua huna akili mama ako aliye kubebea mimba yako miezi Tisa tumboni mwake kwa kuipenda ccm kama ni uongo wale watu 22 walio kufa Pemba kawauwa nani kama siyo ccm na kama wataka ushaidi mulize mkapaUwongo
Kwahiyo mkapa sasa amekua muongo kama hajutii mauaji Pemba ktk utawala wakeUwongo
Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mutungi amesema anafuatilia kwa makini sana uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA kuhakikisha katiba inafuatwa na haki inatendeka kwa wagombea wote.
Msajili amesema endapo katiba itakiukwa kwa makusudi basi uongozi utakaochaguliwa utakuwa ni batili na hatautambua.
Chanzo: Gazeti la Jiji
Maendeleo hayana vyama!
Kwa fikra zako Chadema imeshindwa kutoa ushawishi kwa RAIA au imezuiwa na nguvu za dola?Unaweweseka sana mkuu!
Uhuni unaendelea hapo ufipa ndio unafanya ccm iendelee kutawala.
Hebu niambie upya wa hao wateule wenu kama wameshindwa kuivusha chadema Kwenda Ikulu kwa miaka yote hiyo? Wana nini kipya?
Unauliza swali au jibu?Msajili ni mwanaccm?!
Msajili Asimame haki watu wasidhulumiwe haki zao
Hatutakubali wagombea wanyanyaswe sababu ya ubabe wa kina Lema
Tutazipiga
Vyote!Unauliza swali au jibu?
Vizuri na vipi ile kauli aliyoitoa Bashiru kule Zanzibar kuhusu kumwambia msajili kama akiitwa na mabeberu akienda kuzungumzia uchaguzi wa serekali za mitaa hana kazi mbona mpaka sasa hajalizungumza hilo
Asingekua kada mtiifu asingepewa hicho cheo.Vyote!
Kamwingilie mkeoUlitaka Mabeberu Ndio waingilie Uchaguzi wetu?
HIVI HUYU TUNGI NI "MSAJILI" WA VYAMA AU CDM? Mbona anawashwa washwa????!!!!!Msajili wa vyama vya siasa nchini Jaji Mutungi amesema anafuatilia kwa makini sana uchaguzi wa viongozi wa CHADEMA kuhakikisha katiba inafuatwa na haki inatendeka kwa wagombea wote.
Msajili amesema endapo katiba itakiukwa kwa makusudi basi uongozi utakaochaguliwa utakuwa ni batili na hatautambua.
Chanzo: Gazeti la Jiji
Maendeleo hayana vyama!
Kwani 'kupita bila kupingwa' ktk uchaguzi wa ndani wa CDM ni haramu? Kwanini mliopo nje ya ulingo mnasononeka zaidi na uchaguzi huu?Msajili Asimame haki watu wasidhulumiwe haki zao
Hatutakubali wagombea wanyanyaswe sababu ya ubabe wa kina Lema
Tutazipiga