Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,297
- 33,909
Hadi majina ya hivi vyama nilishayasahau lakini kumbe bado vipo. Ni lini hivi vyama vimefanya uchaguzi wa kuchagua viongozi wake?
DP, NRA, AFP, Demokrasia Makini, UDP, ADC, Ada- Tadea, Sauti ya Umma (Sau), TLP, CCK na UMB ni lini vilichagua viongozi wake?
DP, NRA, AFP, Demokrasia Makini, UDP, ADC, Ada- Tadea, Sauti ya Umma (Sau), TLP, CCK na UMB ni lini vilichagua viongozi wake?