- Thread starter
- #21
Wanaccm wenzangu huu co wakati wa malumbano , tujenge chama kwa hoja za kujenga cokutishana,, embu tuzungumzie pension ya wastaafu ambao ci wanasiasa
CCM ile ya enzi za Nyerere yenye wanasiasa makini sio hii ya leo mkuu, hii ya sasa ni "Chichi Em" Si umemsikia huyu msemaji, yaani ndio msaidizi wa katibu mwenezi wa chama,,hawezi hata kujenga hoja.