Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Kibajaji Lusinde mwingine huyu hapa.... Hivi huyu ndiye kiongozi wa CCM DMV? Kha. Aibu wabeba boxi vijiweni wamejikusanya na kuanza kuwatapeli watanzania.....huyu mtu domo bakuli anavuta bangi nini? hawezi hata kuongea.
-CCM haina wapinzani
-Wabunge wa Upinzani Punguwani
-CCM imewapa upinzani majimbo ya Arusha ili tu kuwafuta machozi nk.
-JK ni mtu mwenye busara sana. Amewahurumia wapinzani waingie bungeni. Bila JK wasingeona Bunge
-Mbunge wa Iringa anaacha kuwaongelea wana Iringa, anafika kung'angania kesi ya Kanga
-Lada (Radar) ilikuwepo tangu miaka hiyo. Lada ilikuwa na makosa kidogo
-Wapinzani fungeni kanga mkacheze ngoma bungeni
-Lasaba tunajua kusoma na kuandika. Tunaweza kuwa viongozi
-CHADEMA hawana sera, kazi zao ni viherehere
-Dr. Slaa ni mpora wake za watu tu.
-Mimi nalipa tax ya Obama, nyingine nataka nilipe nyumbani
-Kufika tu marekani na kuishi "Ni digrii" Kufanya mambo yako tu, "ni masters"
-Mtanzania hata umpleke urusi, habadiliki. CCM tu ndo itawasaidia
-Mwenzangu kutoka uzuri mimba. Nawaonya wapinzani wasitoe matusi. watoe sera.
-August 23, mvua DC. Mambo mazito ufunguzi wa CCM DC. Wanamuziki balaa, raha mwanangu. Tunainua vipaji vya wasanii na viongozi kutoka Uongozi wa Juu pamoja na Diamond. Tunainua Vipaji ndio maana tunaanzisha CCM DC.
-CHADOMO, CHEFUA (Cuf) hawawezi haya yote.
-Wanachama wa CCM Hoyee ndio wanaokuja kula raha. Njoo tu na kadi
-Chadomo wasijaribu kuja hapa kuvuruga laha zetu.
-CCM ina wanachama 300
-CCM haina wapinzani
-Wabunge wa Upinzani Punguwani
-CCM imewapa upinzani majimbo ya Arusha ili tu kuwafuta machozi nk.
-JK ni mtu mwenye busara sana. Amewahurumia wapinzani waingie bungeni. Bila JK wasingeona Bunge
-Mbunge wa Iringa anaacha kuwaongelea wana Iringa, anafika kung'angania kesi ya Kanga
-Lada (Radar) ilikuwepo tangu miaka hiyo. Lada ilikuwa na makosa kidogo
-Wapinzani fungeni kanga mkacheze ngoma bungeni
-Lasaba tunajua kusoma na kuandika. Tunaweza kuwa viongozi
-CHADEMA hawana sera, kazi zao ni viherehere
-Dr. Slaa ni mpora wake za watu tu.
-Mimi nalipa tax ya Obama, nyingine nataka nilipe nyumbani
-Kufika tu marekani na kuishi "Ni digrii" Kufanya mambo yako tu, "ni masters"
-Mtanzania hata umpleke urusi, habadiliki. CCM tu ndo itawasaidia
-Mwenzangu kutoka uzuri mimba. Nawaonya wapinzani wasitoe matusi. watoe sera.
-August 23, mvua DC. Mambo mazito ufunguzi wa CCM DC. Wanamuziki balaa, raha mwanangu. Tunainua vipaji vya wasanii na viongozi kutoka Uongozi wa Juu pamoja na Diamond. Tunainua Vipaji ndio maana tunaanzisha CCM DC.
-CHADOMO, CHEFUA (Cuf) hawawezi haya yote.
-Wanachama wa CCM Hoyee ndio wanaokuja kula raha. Njoo tu na kadi
-Chadomo wasijaribu kuja hapa kuvuruga laha zetu.
-CCM ina wanachama 300
Last edited by a moderator: