Hata kama hahusiki ninaamini ana uwezo wa kuzuia hili la kutekana atusaidie ingawa ni wajibu wakeNani kakwambia magufuli anahusika
Hivi wewe mkuu na akili zako unaona kuna kutekwa pale kweli?Hata kama hahusiki ninaamini ana uwezo wa kuzuia hili la kutekana atusaidie ingawa ni wajibu wake
Ndio ujuwr TISS ya kapilimba akisaidiwa na makonda walivyowapumbavu wanadhani watanzania ni wale wa uujimaWapuzii hawa wanatekana alafu wanakuja kutusanifuu
Huyu fala hadi anaulizwa tukushushe wapi as if walikua wametoka safarini..
Kwahiyo kumsingizia membe ndio itawasaidia ,unataka kusema wote waliotekwa kuanzia Saanane,Azory, Kanguye walitekwa na membe .Halafu mbona waliowapa wasiojulikana Massa 24 watawataja ndio wakamwachia ? Membe anahusikaje hapo we Lumumba .au wataliundia zengwe kwa Membe..lol..ila mbona amerudi baada ya Rafiki zake kutangaza kumpa masaa 24 Membe kumtoa huyu msaidizi…..mie sitaki kuumiza kichwa siku hizi...nataka nijikite kule MMU sitaki kufa na pressure na mada za siasani
Hata yeye alipookolewa hakuzungumza tena nakumbuka hata uenyekiti wa ma Dr aliuacha
Hahahhaa, upuuzi mtupu.Mbona anaongea ujinga ujinga tu
Ndo ujue ni drama tu, wanaccm wamteke mwanaccmAliyetekwa ni mwana ccm !! Ukumbuke hilo
Fanya sasaBila kufanya maamuzi juu ya huu ukatili unaoendelea tutuja kulia na kusaga meno.
Maamuzi ni yetu, tusisubiri kufanyiwa maamuzi na mtu mwingine ambaye hayupo.
Rais magufuli tafadhali inatosha.kama ni kuichafua hii nchi sasa basi. Tunaomba uturejeshee amani tuliyoizoea watanzania hatujazoea haya mambo ya kutekana hovyo huu utamaduni wewe umeupata wapi?
..akisema ukweli wote hawezi kutuhumiwa na kushutumiwa kuwa anaitukana/anaikashifu nchi yake?
au wataliundia zengwe kwa Membe..lol..ila mbona amerudi baada ya Rafiki zake kutangaza kumpa masaa 24 Membe kumtoa huyu msaidizi…..mie sitaki kuumiza kichwa siku hizi...nataka nijikite kule MMU sitaki kufa na pressure na mada za siasani
Msaidizi wa MEMBE 'Allan' anachokizungumza baada ya KUREJESHWA na WATU wasiojulikana.
Akizungumza kwa namna alivyoachwa njia panda ya Segerea amesema “Nilishushwa sehemu ambayo niliona ni sehemu salama kwa sababu nilieweza kupata usafiri wa kurudi kwangu.”
Ameeleza kuwa “Wao wenyewe(Wanaodaiwa kuwa Watekaji) waliuliza ni wapi tukikushusha unaweza kufika salama? Nikawauliza kwani tupo wapi? Wakasema tupo Gongo la Mboto. Nikasema mimi nakaa Kinyerezi mkinishusha njia panda ya Segerea nitakuwa salama.”
Aidha, kwa sababu suala hilo lipo Polisi amesema kuwa hawezi kuelezea ni nini kilitokea huko alikokuwa bali tusubiri tamko au ripoti ya Polisi. “Kwa kuwa mimi ni Mkweli sana na najua Polisi watasema kile nilichosema.”
Lakini pia alipohojiwa kama ataendela kuwa Msaidizi wa Membe, Allan amesema kuwa anatumaini ataendelea kuwa Msaidizi wa Waziri huyo wa zamani kwani amekuwa msaidizi wake tangu mwaka 2012 akiwa Mwanafunzi wa Chuo hadi sasa
Awali, alianza kutoa shukurani zake kwa Wanahabari kwa namna ya walivyojitolea kuhakikisha sauti za familia yake, Wanasiasa na Watanzania wote zinasikika. Pia amemshukuru Membe, IGP Sirro na Polisi wote wa Kituo cha Kawe
Awali, alianza kutoa shukurani zake kwa Wanahabari kwa namna ya walivyojitolea kuhakikisha sauti za familia yake, Wanasiasa na Watanzania wote zinasikika. Pia amemshukuru Membe, IGP Sirro na Polisi wote wa Kituo cha Kawe
Nikawauliza kwani tupo wapi? Wakasema "tupo Gongo la Mboto. Nikasema mimi nakaa Kinyerezi mkinishusha njia panda ya Segerea nitakuwa salama.”
Swali ni kwa nini viongozi wakubwa wa nchi hawakemei vitendo hivi?, ina maana wanafahamu malengo yake
Unamchukulia nani hizo hatua?Vitendo hivi vya utekaji mpaka wananchi tuanze kuchukua hatua wenyewe ndiyo vitakoma, bila hivyo vitaendelea