Young rich nigga
Member
- Dec 29, 2017
- 74
- 100
Habari zenu ndugu zangu,,,, cna mengi ya kuongea ila nia hasa ya uzi huu ni changamoto ninayoipata katika kuanda fomula ya kuchanganya chakula cha broilers kwanzia starter mpaka finisher!!!
Natumai ntapata msaada kutoka kwenu,,, Natanguliza shukrani
"Forever Together "
Natumai ntapata msaada kutoka kwenu,,, Natanguliza shukrani
"Forever Together "