Msafara watu 80 kuelekea cameroun

Yo Yo

JF-Expert Member
May 31, 2008
11,217
1,702
Timu ya taifa taifa stars inajiandaa kukwea Pipa ikiwa na msafara wa tu 80kuelekea cameroun kwa mechi ya marudiano jumamosi ijayo.

Hivi jamani tujiulize huu msafara wa watu 80 wa nini? gharama za tiketi tu ya ndege ya shirika rahisi kama KQ ni Tsh 1.5m kwa mtu mmoja.....kwa 80 approx 120m....bado gharama nyingine wakiwa huko.....
 
Timu ya taifa taifa stars inajiandaa kukwea Pipa ikiwa na msafara wa tu 80kuelekea cameroun kwa mechi ya marudiano jumamosi ijayo.

Hivi jamani tujiulize huu msafara wa watu 80 wa nini? gharama za tiketi tu ya ndege ya shirika rahisi kama KQ ni Tsh 1.5m kwa mtu mmoja.....kwa 80 approx 120m....bado gharama nyingine wakiwa huko.....

Heh! mimi naona pale TFF kuna watu wenye njaa wasio na dhamira ya kuendeleza soka,sasa wanagombania posho kwa kujiweka kwenye safari,nasema kuna watu wenye njaa pale jamani hivi mpaka leo wana ngoja nini kutangaza mapato ya mechi kati ya Stars na Indomitables(Kameruniiii)??
 
Wenginee si wanajilipiaa jamani au?TFF hawana ubavuwa kuwasafirishaaaa...........watu hata 30 tuuu.......hao kila mtu ana cash yake....
 
nadhani tatizo lisiwe hao watu kwanini wanakwenda!!kama wamejilipia its fine and vyema mnoo!!
kwenye ile thread ya tz na cameroon nilipost habari za tff kuwa wamepewa ndege yenye uwezo wa kuchukua watu 90 pamoja na wachezaji na makocha na kila kitu lakini wakasema kuna nafasi 40 tu kwa washangiliaji meaning timu pamoja na maofisa wa tff watakua 50 ndio mimi nilipohoji kuna uhalali wa tff kutumia mgongo huo kwenda cameroon??kwanini wao wasingejitegemea?!
 


Heh! mimi naona pale TFF kuna watu wenye njaa wasio na dhamira ya kuendeleza soka,sasa wanagombania posho kwa kujiweka kwenye safari,nasema kuna watu wenye njaa pale jamani hivi mpaka leo wana ngoja nini kutangaza mapato ya mechi kati ya Stars na Indomitables(Kameruniiii)??
YUle Tenga alipoingia nilisema soka litakuwa lakini na yeye kaja na njaa zake anataka kujenga nyumba kupitia TFF......

Mapato hayo yanapigwa panga yakija kutolewa nje watakuja na maelezo mareefu na kilaghai kama bajeti ya Mkullo
 
nadhani tatizo lisiwe hao watu kwanini wanakwenda!!kama wamejilipia its fine and vyema mnoo!!
kwenye ile thread ya tz na cameroon nilipost habari za tff kuwa wamepewa ndege yenye uwezo wa kuchukua watu 90 pamoja na wachezaji na makocha na kila kitu lakini wakasema kuna nafasi 40 tu kwa washangiliaji meaning timu pamoja na maofisa wa tff watakua 50 ndio mimi nilipohoji kuna uhalali wa tff kutumia mgongo huo kwenda cameroon??kwanini wao wasingejitegemea?!
Hebua angalia hapo hao jamaa si wanafanya ufisadi kwenye soka letu.....wachezaji sidhani kama watazidi 23 remaining 27 watakuwa akina Tenga na wenzake
 
Wacheni ukakamavu ,mnaposikia kuna wasamaria wema basi na hata kwenye hizo tiketi wameweka mkono wao au kwa luga ya kigeni wanawaitaga wafadhili/ mechi ni kesho saa 11:30 jioni kwa saa za Tanganyika.(14:30 GMT)


June 17 - World Cup qualifying African second round matches on Tuesday (all times GMT). 2nd Round - Group 1 Saturday, June 21 Cameroon v Tanzania (1430) 2nd Round - Group 1 Sunday, June 22 Cape Verde Islands v Mauritius (1700) 2nd Round - Group 2 Sunday, June 22 Zimbabwe v Kenya (1300) Guinea v Namibia (1700) 2nd Round - Group 3 Sunday, June 22 Angola v Uganda (1430) Benin v Niger (1500) 2nd Round - Group 4 Saturday, June 21 South Africa v Sierra Leone (1300) Nigeria v Equatorial Guinea (1500) 2nd Round - Group 5 Friday, June 20 Libya v Lesotho (1800) 2nd Round - Group 5 Sunday, June 22 Ghana v Gabon (1700) 2nd Round - Group 6 Friday, June 20 Algeria v Gambia (1830) 2nd Round - Group 6 Saturday, June 21 Senegal v Liberia (1930) 2nd Round - Group 7 Sunday, June 22 Mozambique v Madagascar (1300) Ivory Coast v Botswana (1600) 2nd Round - Group 8 Saturday, June 21 Morocco v Rwanda (1800) 2nd Round - Group 8 Sunday, June 22 Ethiopia v Mauritania (1300) 2nd Round - Group 9 Saturday, June 21 Burkina Faso v Seychelles (1800) Tunisia v Burundi (1830) 2nd Round - Group 10 Sunday, June 22 Congo v Chad (1430) Mali v Sudan (1800) 2nd Round - Group 11 Saturday, June 21 Zambia v Swaziland (1200) 2nd Round - Group 12 Sunday, June 22 Congo DR v Djibouti (1430) Egypt v Malawi (1800
 
Ni wiki mbili sasa kisanga cha wachezaji wa ngumi tangu kitokee,tuliambiwa ni watatu tu,hee kutahamaki kumbe nusu wazamiaji, na sasa JWTZ inawakana jamaa na kusema jamaa walizamia trip bila ruhusa.Vipi zile pipi zingefika salama tungeyajua yote hayo?

Ninachotaka kusema ni hiki,Ufisadi haujabakiza idara yo yote hapa bongo.Msishangae sana hiyo ndio bongo yetu.
 
Ndege hiyo inasa firisha wachezaji viongozi na washabiki. I have seen somewhere washabiki wanalipa nauli ya dola 700 if Im not mistaken.

Sioni tatizo hapo labda hao vibosile wa TFF walio jazana humu tele
 
Ndege hiyo inasa firisha wachezaji viongozi na washabiki. I have seen somewhere washabiki wanalipa nauli ya dola 700 if Im not mistaken.

Sioni tatizo hapo labda hao vibosile wa TFF walio jazana humu tele

dats wat twalalamikia ndugu
 
Back
Top Bottom