Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Mechi ya leo Mtibwa vs Dodoma Jiji, Dodoma Jiji wamefika uwanjani wakiwa wamepanda bodaboda.
Benchi la ufundi ilipohojiwa wamesema wamechelewa kufika kwasababu kulikuwa na foleni ya msafara wa waziri mkuu kwahiyo ikabidi waache gari wachukue bodaboda
Benchi la ufundi ilipohojiwa wamesema wamechelewa kufika kwasababu kulikuwa na foleni ya msafara wa waziri mkuu kwahiyo ikabidi waache gari wachukue bodaboda