Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Mwanahabari Huru,

Wamekwenda muda gani? Wamekwenda baada ya kuingia Rais au baada ya kuingia Rais?

Viongozi wote isipokuwa Rais kiutaratibu huingia kabla ya kiongozi mkuu wa nchi hajaingia!

Mtu wa mwisho anaye ingia kwenye tukio lolote la kitaifa huwa ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania!

Hebu Twambie wao wametaka kuingia muda gani? Wakati Rais kuingia au kabla?

Hivi kweli mko serious mnataka kwenda ikulu? Hamkujua ratiba?
Walikwenda kabla ya Raisi kukaa bashite acha uongo
 
Mwanahabari Huru,

Nafikiri kwenye hili tuache ushabiki Viongozi wa Chadema wamechelewa kufika uwanjani na walipaswa kukaa presidential Area wangekaaje na je uwanjani wangeingia vp wakati Rais kaishaingia?

Wakubwa sehemu yeyote ambayo kama kuna event mtu wa mwisho kuingia ni Rais ukichelewa kaa mbali tu!
Waliwahi polisi walipewa maagizo tu sio vizuri kuwanyanyasa watanzania wenzenu
 
Mitano inatosha
Screenshot_2020-07-28-15-34-12-58.jpg
 
Ok, kaa wamefika Baada ya viongozi wa nchi, walifanya kusudi, wala hawakuwa na nia ya kuomboleza ila kiki. Maana protocol wanaijua.

Kwanini hawakufika kwa muda uliopangwa? Mbona Maalim alifika na kakaa jukwaa kuu, nyuma tu ya Magu?

Ningependa sana kumuona TL karibu na mbaya wake.

Waulize mbona Maalim Seif alikuwepo? Yeye alizuiwa?
 
Ndugu mwanahabari huru, CHADEMA wanajua na wanaojua itifaki pia wanajua. Huwezi kuingia kwenye shughuli ya kitaifa vile, uko na msafara, Rais ameshaingia halafu unataka upewe upendeleo wa kuingia kwenye shughuli Kama vile mgeni rasmi.

Walishindwaje kufuata utaratibu? Wanafanya makusudi ili kuzua sintofahamu.

Kuna mwananch yeyote aliyezuiwa? Wangeshuka kwenye magari waingie Kama wananchi wa kawaida waone Kama wangezuiwa
 
Kwenye post zangu za jana nilishauri Lissu kutokwenda kwenye huo msiba, ninajua vyema mtazamo wa serekali hii chini ya Magufuli dhidi ya Lisu. Hapo tatizo la kuzuiliwa ni Lisu, na kwa vyovyote vile angeingia hapo uwanjani lazima angeshangiliwa vibaya sana, jambo ambalo lingezua fedheha na Karaha kubwa kwa serikali.

Ni nani asiyejua kuwa Lisu na Magufuli kuwa hawaivi chungu kimoja? Hivi hao viongozi wa Cdm walitarajia serikali na ccm, wangekubali cdm wachukue point za mezani mbele yao?
Inabidi wavumilie tu maana wote ni watanzania na walipaswa kushiriki official burial ceremony
 
Sasa mbona umependa alichosema na wakati wewe ulitakiwa ufahamu msimamo wangu? Sikukupa like yangu kwenye statement yako kama yake kasoro maeneno ya kwenye kanga?
jmushi1 relax mkuu..hayo ni maoni ya wadau.

Kama hujaridhika nayo achana nayo tu. Jf ni kama bahari, kuna kila aina ya viumbe...ukitupa kokoro tegemea mazaga kibao.

Wewe chukua samaki hayo mengine tupa.
 
Sina shida na hilo Mkuu ila halihitaji Akili Kubwa kujua kuwa kuna Watu walipanga kwenda ili kupata Political Mileage kwa Ujio wa Mgeni Mwenyeji.
Bashite hajawahi kuwa na utafakari kichwani mwako unachowaza tumbo lako tu yaani chadema iliyopo kila kitongoji mtaa kujiji wilaya mkoa na taifa wakapate political mileage kwenye uwanja uliojaa watoto wa shule wewe acha ngebe za aibu
 
Mtu mwenyewe kauzu yule...bora muwe wapole mje mpate hata wabunge watatu bunge lijalo.vinginevyo mtatoka kapa,msijidanganye kwamba kura zenu wananchi zitafanya kazi,never.hui uchaguzi utakuwa kama uteuzi tu.nguvu zote anazo yeye.
Mkuu nakuhakikishia, haya mambo sio rahis hivyo, ashapiga mkwara mara ngapi mzee lakin mbona ujio wa TL umetikisa? Kuongoza nchi kwa kutumia nguvu lazima ufeli tu, utaweza kwa muda fulan lakin sio kwa muda wote.
 
Back
Top Bottom