Nkwesa Makambo
JF-Expert Member
- Aug 26, 2011
- 4,763
- 1,314
nilikuwa barabara ya morogoro nikitokea kimara, kundi la vijana walijipanga barabarani na kuzuia msafara wa mh. Rais.
Sikuweza kujua Madai ya lile kundi, mwenye taarifa zaidi juu ya madai ya vijana atujuze...
Sikuweza kujua Madai ya lile kundi, mwenye taarifa zaidi juu ya madai ya vijana atujuze...