Online Pastor
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 1,948
- 1,515
Msafara wa Ndugu Kheri James Denice wapata ajali wilayani Meatu baada ya gari ya polisi kuchomoka tairi hivyo kuziba njia na magari ya nyuma kupandiana barabarani.
More updates:
Majeruhi wamefikia watatu wamepelekwa hospitali ya Mwandoya kwa huduma ya afya na gari ya basi ya Rombo imepata ajali baada ya kuigonga gari ya madiwani kwa nyuma.
Ajali imetokea mpakani mwa wilaya za Meatu na Itilima katika kijiji cha Kisesa.
Wakuu wa wilaya za Meatu na Itilima wapo eneo la ajali kutoa msaada stahiki.
Msafara umeendelea baada ya majeruhi kufikishwa Mwandoya.
Shukrani zimwendee dereva wa basi la Rombo kwa kuchepusha gari nje ya barabara ili kulikwepa gari la polisi
Pia tunaishukuru Kamati ya Ulinzi ya Wilaya ya Meatu kwa uharaka wake wa kulishughurikia tukio hili
Madiwani waliojeruhiwa ni kata za Imalaseko, Mwasengera,Tindabuligi na Ngoboko
Sad News:
Mhe Diwani wa Tindabuligi Mhe Mahega ameiaga dunia muda huu.
Rest in Peace
More updates:
Majeruhi wamefikia watatu wamepelekwa hospitali ya Mwandoya kwa huduma ya afya na gari ya basi ya Rombo imepata ajali baada ya kuigonga gari ya madiwani kwa nyuma.
Ajali imetokea mpakani mwa wilaya za Meatu na Itilima katika kijiji cha Kisesa.
Wakuu wa wilaya za Meatu na Itilima wapo eneo la ajali kutoa msaada stahiki.
Msafara umeendelea baada ya majeruhi kufikishwa Mwandoya.
Shukrani zimwendee dereva wa basi la Rombo kwa kuchepusha gari nje ya barabara ili kulikwepa gari la polisi
Pia tunaishukuru Kamati ya Ulinzi ya Wilaya ya Meatu kwa uharaka wake wa kulishughurikia tukio hili
Madiwani waliojeruhiwa ni kata za Imalaseko, Mwasengera,Tindabuligi na Ngoboko
Sad News:
Mhe Diwani wa Tindabuligi Mhe Mahega ameiaga dunia muda huu.
Rest in Peace