figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
akiwa anatoka korogwe msafara wake umepata ajali baada ya gari la polisi lililokuwa linaongoza msafara kushindwa kukata kona kwenye milima na kutumbukia kwenye shimo. bado haijajulikana kama kuna mtu amekufa. magari yalikuwa kwenye kasi kubwa. wengi wamejeruhiwa vibaya. source itv. Mia