Leo ndio nimeamini kuwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete anapendwa Sana.
Alifika hapa Turiani Morogoro kumzika bibi ambae aliishi nae kwa miaka mingi Kama mlezi wa watoto wake Bi Halima Hassan
Baada ya kutoka makaburini taarifa zilisambaa haraka hapa kijijini kwa Jakaya kesha wasili
Wakati wa kurudi toka mazishini wananchi wakaingia barabarani eneo la magengeni na baadhi wakisema:
"shuka baba uchukue zawadi ya ndizi na mananasi bure ..asante yetu kwa kutuongoza kwa busara na kutuachia rais Magufuli mchapa kazi asante baba... "
Inaonekana walinzi hawakujiandaa na hawakutaka
Jakaya akashuka Kama kawa wananchi tukasogea
Jk: "wazima? Sasa mkinipa zawadi nanyie mmeleta hapa muuze mtapata hasara,ijapokuwa vingine mimi nalima basi mtuuzie mimi na mke wangu, haya huu mkungu wa ndizi shilingapi? ..."
Akanunua vyake
Wakati anaondoka Kijana maarufu hapa anaitwa Hamisi
Akasema
"..baba msalimie Rais wetu Magufuli mwambie tunampenda Sana atunyooshe tu tufanye kazi... Tulisema wenyewe baba kuwa wewe mpole... Huyu sasa saizi yetu...na asikubali kuvurugwa na wale watoka bungeni Wacha tupige Kazi baba...safari.....njema mstaafu wetu... .. "
Jakaya baba huo mzizi wakupendwa uliokula nauomba na mimi hapa turiani nilambe walau kidogo
Alifika hapa Turiani Morogoro kumzika bibi ambae aliishi nae kwa miaka mingi Kama mlezi wa watoto wake Bi Halima Hassan
Baada ya kutoka makaburini taarifa zilisambaa haraka hapa kijijini kwa Jakaya kesha wasili
Wakati wa kurudi toka mazishini wananchi wakaingia barabarani eneo la magengeni na baadhi wakisema:
"shuka baba uchukue zawadi ya ndizi na mananasi bure ..asante yetu kwa kutuongoza kwa busara na kutuachia rais Magufuli mchapa kazi asante baba... "
Inaonekana walinzi hawakujiandaa na hawakutaka
Jakaya akashuka Kama kawa wananchi tukasogea
Jk: "wazima? Sasa mkinipa zawadi nanyie mmeleta hapa muuze mtapata hasara,ijapokuwa vingine mimi nalima basi mtuuzie mimi na mke wangu, haya huu mkungu wa ndizi shilingapi? ..."
Akanunua vyake
Wakati anaondoka Kijana maarufu hapa anaitwa Hamisi
Akasema
"..baba msalimie Rais wetu Magufuli mwambie tunampenda Sana atunyooshe tu tufanye kazi... Tulisema wenyewe baba kuwa wewe mpole... Huyu sasa saizi yetu...na asikubali kuvurugwa na wale watoka bungeni Wacha tupige Kazi baba...safari.....njema mstaafu wetu... .. "
Jakaya baba huo mzizi wakupendwa uliokula nauomba na mimi hapa turiani nilambe walau kidogo