hakuna haki afrika, only money talksItawasaidia nini kusema uwongo......No wonder tunabaki kama tulivyo na viongozi wanachukua advantage hii kujinufaisha wao na familia zao.Tutabakia kupewa t shirts na upande wa kanga huku watoto wetu wakisomea chini na kula madawa ya kulevya.Tubadilike tuwe wa kweli na tudai haki zetu kisheria bila UNAFIKI.
Toka lini Bavicha wakawa na ofisi?sasa mkuu hapo tegeta kibaoni mbona hata ofisi ya Bavicha hakuna ?
Jamani eenh! Hii post ni ya tangu MWAAK 2012,,,lakini baadhi yenu mnacomment as if imetokea hivi karibuni..!!!