Msafara wa JK wapigwa mawe Tegeta juzi

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
734
Wakuu juzi msafara wa JK akielekea kwake Msoga ulipata kwikwi pale Tegeta baada ya pikipiki mbili kuingilia msafara huo amabapo JK alikuwa kwenye gari aina ya Nissan Patrol. Gari ya mkuu iliingia mtaroni na wananchi wenye hasira wakaanza kulishambulia kwa mawe lakini TISS waliikabili hiyo hali kwa kufyatua ambapo watu wa 3 walifariki papo hapo.

Nawakilisha
 
ulikuwa waapi siku zote mkuu manake hii story ilishapita,anyway tuweke foto tuone jinsi mkweree alivyoinama ndani ya nissan patrol akikwepa mawe
 
Haahaaa! Slowly but surely the mind set of people are changing. Anayedharau mwiba mguu utaota tende. Lets get back to the drawing board to rescue the situation
 
Hii niliisikia ila hilo la watu watatu kufa hapohapo ndo nalisikia hapa,walitaka kumchapa makofi kama yule wa Mali au?kweli mmempa mh udhaifu wa kupitiliza,mtauwawa nyie watu Mh anaruka karate balaa!!wangemsogelea waone mziki wake.
 
mbona ikulu ilikanusha kwamba msafara haukupigwa mawe?
nawasilisha

Sidhani kama wangekiri kuwa msafara umepigwa mawe, kufanya hvyo wangeonyesha udhaifu

  • A%20S%20cry.gif

 
JK alikwa anawadekeza sana Bavicha jaribuni sasa hivi kumtupia mawe Magufuli muone kitakachotokea.
 
Kama hali imeshafikia hivyo ,,basi mzee aambiwe atulie tu kwanza pale ,,Msoga,, hasira za wananchi zipungue kwanza,,

Yaani badala ya kumshangilia Rais mstaafu wanampopoa na mawe hatari sn aiseee.
 
Kwahili la kutupa Mawe kwa kiongozi wananchi walifanya makosa sana huwezi tupa mawe kwa kiongozi has a ukizingatia Mhe rais mstaafu
 
Wivu wa kike tu wa waswahili, hata mpige msafara wake mawe ana billions kama sio trillions zake za kumtosha, au mnasemaje!?
 
Itawasaidia nini kusema uwongo......No wonder tunabaki kama tulivyo na viongozi wanachukua advantage hii kujinufaisha wao na familia zao.Tutabakia kupewa t shirts na upande wa kanga huku watoto wetu wakisomea chini na kula madawa ya kulevya.Tubadilike tuwe wa kweli na tudai haki zetu kisheria bila UNAFIKI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom