Msadaa juu ya sd card

Tajiri Kichwa

JF-Expert Member
Apr 2, 2017
9,019
21,900
Internal storage ya simu yangu nimetumia adi ikanipa notification no enough space , nimenunua sd card nime insert na ku i mount kwa phone na iko haina matatizo hi sd , shida inakuja niki download inshu km wimbo video pdf still haitunzi kwa sd card ata nikidownload some of apps my phn (samsungA5 )


Msaada au maelezo nifanye nn?
 
njia rahisi

download browser kama ucweb au download manager kama adm kisha kwenye setting ielekeze isave sd card kwa mafile utakayodownload.

tip ya kufree space.

fungua file manager kisha ingia internal storage then tafuta folder la whatsapp (kama unayo) then nenda whatsapp media, kisha whatsapp video kisha sent, futa video zote humo, endelea na whatsapp images na futa pia sent, sent hazina maana ni repitition tu na zinakula sana space.
 
njia rahisi

download browser kama ucweb au download manager kama adm kisha kwenye setting ielekeze isave sd card kwa mafile utakayodownload.

tip ya kufree space.

fungua file manager kisha ingia internal storage then tafuta folder la whatsapp (kama unayo) then nenda whatsapp media, kisha whatsapp video kisha sent, futa video zote humo, endelea na whatsapp images na futa pia sent, sent hazina maana ni repitition tu na zinakula sana space.
Asante mkuu ngoja nifanye hivyo
 
njia rahisi

download browser kama ucweb au download manager kama adm kisha kwenye setting ielekeze isave sd card kwa mafile utakayodownload.

tip ya kufree space.

fungua file manager kisha ingia internal storage then tafuta folder la whatsapp (kama unayo) then nenda whatsapp media, kisha whatsapp video kisha sent, futa video zote humo, endelea na whatsapp images na futa pia sent, sent hazina maana ni repitition tu na zinakula sana space.
Mkuu asante sana aisee simu imekuwa free all most 3.5 gb from 400mb asante sana ngoja nifanyie kazi swala la download ziingie kwa memory
 
android 6 pia unaweza kuifanya sd card iwe internal, sema utahitaji memory card yenye speed sana, hizi zinazopatikana kiurahisi mtaani hazifai.
Mkuu hili swala unaweza kulitolea ufafanuzi kidogo mana Kuna rafiki yangu nae tatzo lake ni kma hili ila yeye anatumia SAMSUNG GRAND PRIME PLUS na yeye akiweka memory card ni hvyo hvyo anaitaji vitu visevu directly kwenye memo ila simu haifanyi hvyo na mda mwingne, Nimejaribu kubadili iwe inasave directly kwny Sdcardlkn naona inajiudia hvyo hvyo, Sasa naona umegusia kuusu Speed ya memo nadhani kma sikosei utakuwa unamaanisha Class ya SDCARD..
Ssa naomba ufafanuzi wake hili tatzo haswa husababishwa na nini...??
Au Kun kitu ambacho tunakosea pengine kuiset ili isevu directly kweny Sdcard...??
Na mambo mengne mengi mkuu..
Nawasilisha.
 
Mkuu hili swala unaweza kulitolea ufafanuzi kidogo mana Kuna rafiki yangu nae tatzo lake ni kma hili ila yeye anatumia SAMSUNG GRAND PRIME PLUS na yeye akiweka memory card ni hvyo hvyo anaitaji vitu visevu directly kwenye memo ila simu haifanyi hvyo na mda mwingne, Nimejaribu kubadili iwe inasave directly kwny Sdcardlkn naona inajiudia hvyo hvyo, Sasa naona umegusia kuusu Speed ya memo nadhani kma sikosei utakuwa unamaanisha Class ya SDCARD..
Ssa naomba ufafanuzi wake hili tatzo haswa husababishwa na nini...??
Au Kun kitu ambacho tunakosea pengine kuiset ili isevu directly kweny Sdcard...??
Na mambo mengne mengi mkuu..
Nawasilisha.

kwanza ufahamu hio njia ya android 6 unaitoa kafara sd card yako, ukiiformat itumike kama internal ujue itabidi ikae humo humo kwenye simu, haitasoma mahala pengine. pia unaweza iformat nusu, mfano ni sd card ya gb32 unaweza ukaiformat 16gb iwe internal na 16gb ndio itumike kama sd card.

njia hii ni tofauti na njia unayotumia wewe, hii inabadilika inakuwa internal kabisa, kama simu yako internal ni 8GB then umeformAt sd card ya 64GB itumike simu itasoma ina internal 72GB.

kuhusu swali lako kwanini vitu haviendi sd card, hili ni tatizo la developer wenyewe hawataki apps zao zikae sd card na sababu kubwa ni kwamba sd card zipo slow sana compare na internal memory, app zao zikikaa kwenye sd card nazo zitakuwa slow.

kwa mtumiaji simu asielewa hilo akiona app fulani ipo slow ataichukia na kuitoa kwenye simu, hivyo mwisho wa siku anaepata hasara ni developer.

memory card nzuri za kununua ni kuanzia class 10 na UHS series lakini still hio class 10 kuna baadhi zitakuwa slow.

samsung wenyewe by default hii njia ya adoptable storage wameifungia hivyo ukiangalia kwenye setting hutaiona itabidi utumie adb kui activate.
 
kwanza ufahamu hio njia ya android 6 unaitoa kafara sd card yako, ukiiformat itumike kama internal ujue itabidi ikae humo humo kwenye simu, haitasoma mahala pengine. pia unaweza iformat nusu, mfano ni sd card ya gb32 unaweza ukaiformat 16gb iwe internal na 16gb ndio itumike kama sd card.

njia hii ni tofauti na njia unayotumia wewe, hii inabadilika inakuwa internal kabisa, kama simu yako internal ni 8GB then umeformAt sd card ya 64GB itumike simu itasoma ina internal 72GB.

kuhusu swali lako kwanini vitu haviendi sd card, hili ni tatizo la developer wenyewe hawataki apps zao zikae sd card na sababu kubwa ni kwamba sd card zipo slow sana compare na internal memory, app zao zikikaa kwenye sd card nazo zitakuwa slow.

kwa mtumiaji simu asielewa hilo akiona app fulani ipo slow ataichukia na kuitoa kwenye simu, hivyo mwisho wa siku anaepata hasara ni developer.

memory card nzuri za kununua ni kuanzia class 10 na UHS series lakini still hio class 10 kuna baadhi zitakuwa slow.

samsung wenyewe by default hii njia ya adoptable storage wameifungia hivyo ukiangalia kwenye setting hutaiona itabidi utumie adb kui activate.
Shukrani sana mkuu nimeelewa na asante sana kwa ufafanuzi wako makini
 
kwanza ufahamu hio njia ya android 6 unaitoa kafara sd card yako, ukiiformat itumike kama internal ujue itabidi ikae humo humo kwenye simu, haitasoma mahala pengine. pia unaweza iformat nusu, mfano ni sd card ya gb32 unaweza ukaiformat 16gb iwe internal na 16gb ndio itumike kama sd card.

njia hii ni tofauti na njia unayotumia wewe, hii inabadilika inakuwa internal kabisa, kama simu yako internal ni 8GB then umeformAt sd card ya 64GB itumike simu itasoma ina internal 72GB.

kuhusu swali lako kwanini vitu haviendi sd card, hili ni tatizo la developer wenyewe hawataki apps zao zikae sd card na sababu kubwa ni kwamba sd card zipo slow sana compare na internal memory, app zao zikikaa kwenye sd card nazo zitakuwa slow.

kwa mtumiaji simu asielewa hilo akiona app fulani ipo slow ataichukia na kuitoa kwenye simu, hivyo mwisho wa siku anaepata hasara ni developer.

memory card nzuri za kununua ni kuanzia class 10 na UHS series lakini still hio class 10 kuna baadhi zitakuwa slow.

samsung wenyewe by default hii njia ya adoptable storage wameifungia hivyo ukiangalia kwenye setting hutaiona itabidi utumie adb kui activate.
Mkuu naomba ufafanuzi hapo kwemye classes sd card.
 
Mkuu naomba ufafanuzi hapo kwemye classes sd card.
class ni speed za sd card mkuu

class 4 inamaanisha average speed ni 4mbps

class 6 ni 6mbps

class 10 ni 10mbps etc

sema siku hizi kuna class 10 zinazidi hio 10mbps na kuna UHS 1 na UHS III hizi pia zina speed sana zote zinazidi 10mbps.
 
class ni speed za sd card mkuu

class 4 inamaanisha average speed ni 4mbps

class 6 ni 6mbps

class 10 ni 10mbps etc

sema siku hizi kuna class 10 zinazidi hio 10mbps na kuna UHS 1 na UHS III hizi pia zina speed sana zote zinazidi 10mbps.
Sasa kwenye kununua utajuaje ni class ngapi?
 
Sasa kwenye kununua utajuaje ni class ngapi?
inaandikwa juu kwenye memory card,
sku_139290_3.jpg

umeona hicho kinamba 10 kimezungushiwa hio ndio class.

pitia hii thread tulizungumzia kiundani
Unatumia memory card ya aina gani? je ni sahihi kwako?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom