tatizo la kufanya kazi kwa mambo ya YES kwa mkuu wako just kwa sababu unataka kulinda kazi yako huku maslahi ya nchi nyuma....alijua kabisa ile ni fraud ila kulinda kibarua chake akakubali kushiriki,imefika time sasa watu wafanye kazi kwa haki bila kuogopa mtu la sivyo nao hawatufai tuu,hasara imetokea chini ya uangalizi wake sasa anataka kutuambia nini? aende zake huko
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us