Msaada_wanawake wa kibena-iringa.

GOOGLE

JF-Expert Member
Oct 29, 2012
1,890
1,126
Habar ya lyamba.
ndgu zangu naombeni kpata details za hawa wanawake pia mnijuze mila zao zkoje ktk suala nzima la kuoa.
 
wanawake wa kuona nina kuhakikishia ni watu sahihi wa kuoa, wakarimu sana (sio kwenye kugawa utunda kama kabila flan kanda ya ziwa) , wana upendo , na wanajali sana wanaume zao
 
Habar ya lyamba.
ndgu zangu naombeni kpata details za hawa wanawake pia mnijuze mila zao zkoje ktk suala nzima la kuoa.

Oa tu mkuu hawa wanawake ni waadilifu sana pia wana nidhamu ya hali ya juu mi pia nimeoa mbena wa njombe kwa kweli wako poa sana nafurahia maisha ya ndoa kaka
 
Wanawake wa ringa, mbeya, ruvuma, Lindi, wavumilivu wanaheshma, wanathamini ndoa na mwanamme.
Ila wapo mapepe pia, waliopotea njia wanaitwa. kuwa makini
 
walau wabena wamepita kwenye tundu la sindano maana kila kabila likiletwa hapa linachafuka ile mbaya hata kwa mabaya ya kuzusha.
 
Kimaumbile kama wana ulimi fupi sijui......ile mambo ya kisses hutaenjoy.
Sijui wangu tu ndo alikuwa hivo
 
Back
Top Bottom