Mimi ni mwajiriwa katika Taasisi moja ya Fedha hapa nchini,wafanyakazi kwa ujumla tumekuwa tukilumbana na mwajiri wetu juu ya mikopo ya wafanyakazi(staff Loan) kwani ni midogo na isiyo kidhi uhalisia wa gharama za maisha.
Mwajiri anasema kuwa Circular ya BOT haimrurhusu mfanayakazi hasa wa taasi ya fedha kukopeshwa mshahara wake zaidi ya mara kumi na mbili(12).Yaani unaruhusiwa kukopa Basic Salary yako mara kumi na mbili na si vinginevyo.(basic salary x 12).
Je hivi ni sahihi hususan katika taasisi nyingine za fedha?au ni kwetu tu?
Sisi kama wafanyakazi tulipendekeza kukopa Basic salary x 18
Je hiyo corcular kweli inasema hivyo au ni longo longo za mwajiri wetu?
wenzetu wa twiga Bancorp,suala hilo pia linawakumba??
Mwajiri anasema kuwa Circular ya BOT haimrurhusu mfanayakazi hasa wa taasi ya fedha kukopeshwa mshahara wake zaidi ya mara kumi na mbili(12).Yaani unaruhusiwa kukopa Basic Salary yako mara kumi na mbili na si vinginevyo.(basic salary x 12).
Je hivi ni sahihi hususan katika taasisi nyingine za fedha?au ni kwetu tu?
Sisi kama wafanyakazi tulipendekeza kukopa Basic salary x 18
Je hiyo corcular kweli inasema hivyo au ni longo longo za mwajiri wetu?
wenzetu wa twiga Bancorp,suala hilo pia linawakumba??