Dalili zote ni kwamba kwenye Facebook ingawa sina uhakika.
Unatumia computer? Hii itakua simple tu. Ukishaandika status yako, pale chini utaona icon ya location, click hafu unaandika mahala ulipo.
Kama unatumia simu, je browser gani? Kama umedownload app ya Facebook ni simple zaidi. Ukishaandika status yako utaona kadude ka location pale chini kabonyeze, andika mahala ulipo ndio post.
Kama unatumia browser kama Operamini etc, it's impossible.
Mfano hapa kama unatumia PC. Unaona hapo palipozungushiwa na red oval? Hiyo ndio location jamaa alipo. Kushoto kwake kuna kaalama hivi, basi ako ndio unaka-click kisha itatokea sehemu unaandika mahala ulipo.
(Kwenye App ya Facebook katika smartphone iko hivi hivi pia.)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.