Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 563
Wakuu heshima kwenu!hivi hii barabara ya Mwenge mpaka Tegeta inayojengwa sasa hivi mbona haieleweki?iliwekwa lami pande zote mara tena naona wanaikwangua kila siku ukipita hapa kuna lami ukienda mbele kiraka,kwa wataalamu wa ujenzi tunaomba mtusaidie ujenzi huu kitaalamu ndio unaitwaje?