Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,781
- 3,072
kila ninapofungua jamiiforums kupitia compyuta inakuwa slow sana kuload. Yani ninapofungua thread inachukua dakika 10 mpaka 15 kufunguka, ila ninapotumia simu sipati tatizo lolote. Nimeliona hilo tatizo pia kwenye site zingine za tz kama milard ayo huwa inanichukua muda sana kufungua. Ila site zingine hasa za nje sipati tatizo lolote, natumia internet ya vodacom ambapo huwa inafika mpaka 2mbs. Naombeni msaada tatizo linaweza kuwa nini?