Msaada kuhusu huyu mpenzi wangu

Penny

JF-Expert Member
Sep 3, 2008
575
48
Wana Jf za leo wandugu, napenda kutoa shukrani zangu kwa wale wote walionipa ideas nyingi hapo nyuma kwenye ile post yangu ya kwanza.

Kwa kweli nimeanza kuona mabadiliko kadha wa kadha kutoka kwa mwenzangu. Ila sasa katika maongezi yetu nimekuja gundua mwenzangu yuko kizani hajui yepi general knowledge ya kumfanyia mwanamke( what a woman needs from a man).

So ambaye yuko tayari kunisaidia kuniorodheshea vizuri hizo data nashukuru sana. Ameziomba kwa hiani yake kuzifahamu processes vizuri kwa undani sana ili yasijekumtokea tena kama yahapo awali nilivyokwisha kuwaeleza.

Asanteni
 
Tafuta hiki kitabu ukiweza,
Men Are from Mars, Women Are from Venus

Kiliandikwa kitambo kidogo. It is not the best available, but it is good to start with.
Wengine wanaweza kukupa recommendation nzuri zaidi.




.

Thank my dear for your help, my Mr. kwa kweli kimombo hakipandi kabisa. Nafahamu vipo vitabu kama hivi ila sasa yeye hataelewa. So i just wanted something written in swahili so that I can forward it to his e-mail and he read it through step by step. Hope i will get some assistance in that, lets waith for other members too.
 
Thank my dear for your help, my Mr. kwa kweli kimombo hakipandi kabisa. Nafahamu vipo vitabu kama hivi ila sasa yeye hataelewa. So i just wanted something written in swahili so that I can forward it to his e-mail and he read it through step by step. Hope i will get some assistance in that, lets waith for other members too.
Penny,

Najisikia kukusaidia, lakini naogopa... Sijui nianzie wapi. Vitabu si naweza kukupa ukavipeleka kwenye swahili? It's easy mama!
 
Kuna kitabu kimoja kimeandikwa na jamaa mmoja na mkewe nimesahau majina yao.Kitabu kinaitwa Majibu kwa ndoa yako,kina mazingira ya kikristo kwani pia kina mistari mingi tu ya biblia.Mie ni muislam but that was one of my best books talking about merriage.Kitabu ni kizuri sana tu na kinaweza kutoa msaada mkubwa kwa kuanzia.Kipo cha kiswahili na kama uko dar,ukienda pale catholic bookshop azania front kama sijakosea unaweza kukipata.
Ubarikiwe sana.
 
Kuna kitabu kimoja kimeandikwa na jamaa mmoja na mkewe nimesahau majina yao.Kitabu kinaitwa Majibu kwa ndoa yako,kina mazingira ya kikristo kwani pia kina mistari mingi tu ya biblia.Mie ni muislam but that was one of my best books talking about merriage.Kitabu ni kizuri sana tu na kinaweza kutoa msaada mkubwa kwa kuanzia.Kipo cha kiswahili na kama uko dar,ukienda pale catholic bookshop azania front kama sijakosea unaweza kukipata.
Ubarikiwe sana.


Kama uko Dar nenda pale Christian Bookshop mtaa wa Mkwepu opposite na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (National Bureau of Statistics) kitengo cha Sensa. Bookshop hiyo ina viaried marriage literatures, for instance kuna two books there How to beat your wife and how to beat your husband!!!!
 
Thank my dear for your help, my Mr. kwa kweli kimombo hakipandi kabisa. Nafahamu vipo vitabu kama hivi ila sasa yeye hataelewa. So i just wanted something written in swahili so that I can forward it to his e-mail and he read it through step by step. Hope i will get some assistance in that, lets waith for other members too.

...nakushauri (kwa nia nzuri tu iwapo kweli nawe wampenda mumeo) nawe usome kisha umfahamishe/'umsomeshe' hatua kwa hatua huyo mumeo badala ya kumtumia email/txt msgs...
 
Kama uko Dar nenda pale Christian Bookshop mtaa wa Mkwepu opposite na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (National Bureau of Statistics) kitengo cha Sensa. Bookshop hiyo ina viaried marriage literatures, for instance kuna two books there How to beat your wife and how to beat your husband!!!!


These books are so good.Mwenyewe nimevisoma vimenisaidia sana.Kwa Arusha vinapatakana Kimahama na moshi naamini vipo pale Christian bookshop.Ukipata vijabu vilivyoandikwa na pastor Hiza pia ni vizuri sana.Vinapatiakana kwenye Christians bookshops
 
Well asanteni kwa kunipa where to get the books. May be to be clear am not in Tz am out of the country. Mwenye kuweza kunimiminia majamboz hapa nitafurahi sana. Kuna Invisible and Pdiy, you guys are very good in this matter, may I ask for you help. Nawengine wote mnakaribishwa pia.
 
Penny,

Najisikia kukusaidia, lakini naogopa... Sijui nianzie wapi. Vitabu si naweza kukupa ukavipeleka kwenye swahili? It's easy mama!

Nisaidia ndugu yangu niokoe ndoa yangu mwee. Wewe anzia popote tuu. Sasa na hivyo vitabu kupeleka kiswahili ni ngumu kwangu maana google tool yangu haina swahili language. Yani hata ukiweza kunipa mistari tuu baadhi itatosha mkuu. Asante sana.
 
wewe na mumeo,you are not in TZ,sasa mko nchi gani,tuwashauri vitabu,vya lugha ya huko.obviousily kuendelea na everyday chores,u must be speaking the language ya hapo mnapoishi
 
Thank my dear for your help, my Mr. kwa kweli kimombo hakipandi kabisa. Nafahamu vipo vitabu kama hivi ila sasa yeye hataelewa. So i just wanted something written in swahili so that I can forward it to his e-mail and he read it through step by step. Hope i will get some assistance in that, lets waith for other members too.
Okay
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom