Bure, labda ukitaka mchanga na simenti ndio itabidi uwe na gharama, mfuko wa simenti ukienda kwa Slaa atakupa, kwa mbinu zake, kwa shillingi mia tano kila mfuko wa kilo hamsini (amini usiamini).
Kikwete, matofali ya mchanga ni bure na atakupa tuzo kwani hayajawahi kutokea matofali ya mchanga bila simenti au udongo au compound yoyote ya kuya "bond".
Mimi niko tayari kuwekeza millioni 100 kwa matofali ya mchanga, usinizungushie kiswahil tafadhali.