bloodsucker
Member
- Mar 10, 2018
- 11
- 7
Wakuu habari zenu? Mmeshindaje?
Sasa Wakuu kuna shida kidogo nahitaji ushauri wenu kuna mdogo wangu alikuwa anasoma Arusha shule ya msingi sasa kule kulitokea shida kidogo akaamishwa shule akaletwa Ukerewe.
Wakati anaamishwa alkuwa darasa la sita lakini shuleni alipohamia Mwalimu Mkuu akakataa kumpokea mpaka arudishwe darasa la tano, basi ikawa hivyo dogo akarudi darasa la tano.
Sasa maajabu yameibuka leo baada ya matokeo kutoka dogo bado yupo darasa la sita mwakani anamaliza darasa la saba lakini jina lake limetoka kwenye matokeo kwamba amefaulu kwa daraja B.
Baada ya hapo nikafanya kuulizia marafiki wakadai Mwalimu Mkuu aliuza jina kwa mrudiaji. Sasa nahofia hatima ya mdogo wangu mwakani atakapofika darasa la saba itakuwaje?.
Kwa wanasheria ebu mnishauri nifanye nini kwa mjibu wa sheria, maana kinachoniuma ni mtu mwingine kumiliki jina la ukoo wetu.
Wanasheria na wakuu naomba kuwasilisha
Sasa Wakuu kuna shida kidogo nahitaji ushauri wenu kuna mdogo wangu alikuwa anasoma Arusha shule ya msingi sasa kule kulitokea shida kidogo akaamishwa shule akaletwa Ukerewe.
Wakati anaamishwa alkuwa darasa la sita lakini shuleni alipohamia Mwalimu Mkuu akakataa kumpokea mpaka arudishwe darasa la tano, basi ikawa hivyo dogo akarudi darasa la tano.
Sasa maajabu yameibuka leo baada ya matokeo kutoka dogo bado yupo darasa la sita mwakani anamaliza darasa la saba lakini jina lake limetoka kwenye matokeo kwamba amefaulu kwa daraja B.
Baada ya hapo nikafanya kuulizia marafiki wakadai Mwalimu Mkuu aliuza jina kwa mrudiaji. Sasa nahofia hatima ya mdogo wangu mwakani atakapofika darasa la saba itakuwaje?.
Kwa wanasheria ebu mnishauri nifanye nini kwa mjibu wa sheria, maana kinachoniuma ni mtu mwingine kumiliki jina la ukoo wetu.
Wanasheria na wakuu naomba kuwasilisha