Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 563
Madoctor naomba mnisaidie hili,mwanangu jana alikuwa anachemka nikampeleka hospital wakampima wakasem hana homa wala U.T.I nikarudi nae nyumbani,sasa leo asubh akaanza kuchemka tena nikamchukua nikasema ngoja nibadilishe hospital nyingine kumpeleka wamempima wamekuta anamalaria 4,sasa naomba kujua huwa nn kinatokea mpka hospital hii wakute ugonjwa then hospital nyingine hawajakuta ugonjwa?