nina nchi sita
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 269
- 141
App Zote katika simu Yangu zinafanya kazi isipokuwa Facebook, ambayo huonesha kama Hanmna conection za internet. Na nikii restore simu yangu tatizo huisha na kujirudia baada ya Siku chache
Simu Yangu nI TECNO L8
WAJUZI MSAADA WENU PLS
Simu Yangu nI TECNO L8
WAJUZI MSAADA WENU PLS