Baada ya kubahatika kumpata mtoto mmoja, mke wangu alitumia NJITI kama njia ya uzazi wa mpango sasa baada muda akagundua njiti imepotelea mwilini. Tumejaribu kumtafuta mtoto pasipo na mafanikio tumemwona daktar akashauri utrasound kubaini sehemu ilipo hiyo njiti lakini hakijaonekana kwakweli tumebaki bila kujua lakufanya. Kama kuna msaada kwa wataalam humu tafadhali atusaidie. Natanguliza samahani kama sijajieleza vizuri.