BARDIZBAH JF-Expert Member Jan 11, 2017 4,769 8,427 Jun 9, 2017 #1 Habar wanajukwaa Nimepangiwa NDONO SECONDARY ipo tabora Msaada kwa anaeifahamu hii shule kama yupo humu aniambie nimpm
Habar wanajukwaa Nimepangiwa NDONO SECONDARY ipo tabora Msaada kwa anaeifahamu hii shule kama yupo humu aniambie nimpm
Gwangzu JF-Expert Member Dec 21, 2017 2,460 3,818 Jan 13, 2018 #2 Iyo sculi ipo barabara ya kwenda urambo
muhomakilo jr JF-Expert Member Jul 28, 2013 13,372 9,802 Jan 13, 2018 #3 Hongera kupata kazi mkuu,maana huku mtaani ni balaa..