B'REAL JF-Expert Member Oct 20, 2010 4,279 2,733 Jun 25, 2016 #1 habari wanaharakati.wakuu kwa wale walioko mwanza au wanao ijua mwanza wapi nitapata dojo nzuri la karate?
habari wanaharakati.wakuu kwa wale walioko mwanza au wanao ijua mwanza wapi nitapata dojo nzuri la karate?
M mmteule JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,499 12,825 Jun 25, 2016 #3 Tafuta tuition ujiandae wakat ukisubir matokeo. Hizo karate hazihusian na uzito wa kalamu. Take it
muhomakilo jr JF-Expert Member Jul 28, 2013 13,427 9,919 Jun 26, 2016 #4 Safi mkuu,self defence ndo mpango nzima,sio mtu dume zima unakabwa na vibaka wala unga unanyang'anywa kila kitu,eti kisa jamaa wana kisu na panga...
Safi mkuu,self defence ndo mpango nzima,sio mtu dume zima unakabwa na vibaka wala unga unanyang'anywa kila kitu,eti kisa jamaa wana kisu na panga...
B'REAL JF-Expert Member Oct 20, 2010 4,279 2,733 Jun 27, 2016 Thread starter #5 mmteule said: Tafuta tuition ujiandae wakat ukisubir matokeo. Hizo karate hazihusian na uzito wa kalamu. Take it Click to expand... MKUU MI SIO MWANAFUNZI NATAKA KUTUMIA MDA WANGU BAADA YA KAZI KUFANYA HAYO MAZOEZI KULIKO KUKAA BAR KUNYWA BIA AU VIJIWENI KUONGEA UMBEA.
mmteule said: Tafuta tuition ujiandae wakat ukisubir matokeo. Hizo karate hazihusian na uzito wa kalamu. Take it Click to expand... MKUU MI SIO MWANAFUNZI NATAKA KUTUMIA MDA WANGU BAADA YA KAZI KUFANYA HAYO MAZOEZI KULIKO KUKAA BAR KUNYWA BIA AU VIJIWENI KUONGEA UMBEA.