species
Member
- Jun 13, 2015
- 42
- 9
Wanajamvi naomba ushauri wenu niliomba chuo nacte mwaka jana na liichaguliwa ila sikwenda na mwaka huu nataka kusoma chuo kingine kwani kile cha awali nilishindwa kutokana na uchumi na matatizo ya kifamilia ila nimeanza kuomba chuo tena na mfumo wa nacte unakataa kunisajili je naweza kuwaambia wanifute niombe upya msaada kwa adha hii jamani.