Msaada: Xiaomi/Oppo zinapatikana wapi?

dist111

JF-Expert Member
Nov 29, 2012
3,698
3,083
Wakuu naombeni msaada wa maelekezo ya duka ninaloweza pata Xiaomi/Oppo za kijanja za 400-600 elf. Maduka mazuri yaliyopo Kariakoo ndo yatanifaa maana nitakuwa mitaa hiyo tomorrow morning.
Msaada wenu utazingatiwa sana.
Natanguliza shukran
 
Wakuu naombeni msaada wa maelekezo ya duka ninaloweza pata Xiaomi/Oppo za kijanja za 400-600 elf. Maduka mazuri yaliyopo Kariakoo ndo yatanifaa maana nitakuwa mitaa hiyo tomorrow morning.
Msaada wenu utazingatiwa sana.
Natanguliza shukran
Ushapata msaada mkuu?
 
Wakuu naombeni msaada wa maelekezo ya duka ninaloweza pata Xiaomi/Oppo za kijanja za 400-600 elf. Maduka mazuri yaliyopo Kariakoo ndo yatanifaa maana nitakuwa mitaa hiyo tomorrow morning.
Msaada wenu utazingatiwa sana.
Natanguliza shukran
Tafuta akaunti inaitwa "na.1stoo" huko mtaa wa Instagram anauza bei poa atakuelekeza dukani kwake
 
Nenda Posta pia,Kuna store kibao za oppo na Xiaomi,Tena Kuna kipindi hapo nyuma walikua na sales.
 
Mcheki huyo jamaa yuko china plaza
Screenshot_20210724-224222_Instagram.jpg
 
Wakuu naombeni msaada wa maelekezo ya duka ninaloweza pata Xiaomi/Oppo za kijanja za 400-600 elf. Maduka mazuri yaliyopo Kariakoo ndo yatanifaa maana nitakuwa mitaa hiyo tomorrow morning.
Msaada wenu utazingatiwa sana.
Natanguliza shukran
Nimewahi kuziona oppo mlimani city, sikumbuki jina la duka
 
Back
Top Bottom