Msaada Written Interview: Financial Officer

Wakuu habari za muda huu.

Natarajia ku attend written interview katika position ya Financial officer mapema next week.

Mimi nimesoma accounting na kwa sasa ni banker sina idea kabisa ni vitu gani ntaulizwa kwenye hiyo written.

Nisaidieni tips za kunisaidia kujiandaa tafadhani.

Natanguliza shukrani wakuu.
Hiyo Kaz ya u banker uliipataje?
 
Inategemea ni taasisi gani..
Ila kama haujasoma CPA niamini mm interview itakupa shida..
Maswali ni ya darasani tu...financial a/ccntng sana sana
 
Inategemea ni taasisi gani..
Ila kama haujasoma CPA niamini mm interview itakupa shida..
Maswali ni ya darasani tu...financial a/ccntng sana sana
Shukrani mkuu, ninayo nilipata mwaka jana
 
zikumbuke basic roles za financial officer/manager. mfano investment, decision making, dividend payment
Shukrani mkuu, so far inaonekana ni maswali ya darasani tu
 
Umemjibu mubashara .....watu wengine wanajiona wanajua sana sijui ni graduate wa Massachusetts institute of technology
Jamn usinielewe vbaya sikumjibu kwa nia mbaya au kuonyesha mm ni bora zaidi yake..

Angalia alivojibu comment yangu kwa positive tone afu cheki comment yako.

Interview written nyingi needs wider knowledge, ukiwa umesoma CPA akili yako inakua imechangamka kuliko ambae hajasoma,sikumjibu kwa kumkashifu!
 
Jamn usinielewe vbaya sikumjibu kwa nia mbaya au kuonyesha mm ni bora zaidi yake..

Angalia alivojibu comment yangu kwa positive tone afu cheki comment yako.

Interview written nyingi needs wider knowledge, ukiwa umesoma CPA akili yako inakua imechangamka kuliko ambae hajasoma,sikumjibu kwa kumkashifu!
Umekosea ku~quote Dada .....jaribu kufatilia vizuri mtiririko juu uone ....hakuna sehemu ambayo nime Ku quote wewe but nime m~quote mtoa mda ambaye naye ame m~quote mtu mwingine na sio wewe .....

Labda una double I'd .....sorry lakin
 
Jamn usinielewe vbaya sikumjibu kwa nia mbaya au kuonyesha mm ni bora zaidi yake..

Angalia alivojibu comment yangu kwa positive tone afu cheki comment yako.

Interview written nyingi needs wider knowledge, ukiwa umesoma CPA akili yako inakua imechangamka kuliko ambae hajasoma,sikumjibu kwa kumkashifu!
Middle East hajamaanisha wewe mkuu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom