Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,379
- 30,829
Naomba kufahamu kama marehemu ambae ni mume ameacha wosia unaomtambua mke wake ambae ni mama yetu wa kambo kama mmiliki wa mali, je mama huyo wa kambo anaweza kuuza mali alizoachiwa na marehemu wakati kuna watoto wa marehemu wadogo na wanaosoma?