Tangu nikiwa mdogo kiumri hadi leo nimekuwa nasikia fulani na fulani hawapatani kama chui na paka. Je, ni kweli kwamba chui na paka hawapatani? Na katika ugomvi wao nani anaibuka mbabe wa mwenzake? Ni hayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.