vfsuccessfully
Senior Member
- Jul 16, 2017
- 180
- 64
Habari Zenu wakuu.
Kama hali inavyo ji eleza hapa Tanzania nime patwa na wazo la kwenda south Africa kutafuta maisha kwa upande wa taaluma o level na pia ni dereva kwa hiyo nataka nikifika nianze na swala la kuajiriwa kwa hiyo naomba wenye uzoefu wanijuze pia gharama za maisha.
Asanteni natumaini mtanijuza.
Kama hali inavyo ji eleza hapa Tanzania nime patwa na wazo la kwenda south Africa kutafuta maisha kwa upande wa taaluma o level na pia ni dereva kwa hiyo nataka nikifika nianze na swala la kuajiriwa kwa hiyo naomba wenye uzoefu wanijuze pia gharama za maisha.
Asanteni natumaini mtanijuza.