Mmanyanigho
Senior Member
- May 18, 2018
- 185
- 326
Habari zenu ndgu zangu wanajamii forums. Natumai mu wazima.
Naombeni msaada wakuu, mi ni kijana ambae najitafuta bado.
Msaada ninaoomba ni kiasi cha shilingi 200,000 (laki mbili) za kitanzania. Hiyo pesa ni kwa ajili ya kuanza biashara.
Hata hivyo napokea kiasi chochote, lakini pia hapa natumia infinix hot 9, ninaiuza kwa bei hiyo pia (200,000).
Ninapokea mkopo pia, naweka hii simu kama bond, kama upo karibu nami basi nitaileta ili nipate hicho kiasi cha fedha.
Karibuni kwa maoni, ushauri na msaada.
Wenu katika ujenzi wa taifa Mmanyanigho
Nipo tukuyu mbeya.
Naombeni msaada wakuu, mi ni kijana ambae najitafuta bado.
Msaada ninaoomba ni kiasi cha shilingi 200,000 (laki mbili) za kitanzania. Hiyo pesa ni kwa ajili ya kuanza biashara.
Hata hivyo napokea kiasi chochote, lakini pia hapa natumia infinix hot 9, ninaiuza kwa bei hiyo pia (200,000).
Ninapokea mkopo pia, naweka hii simu kama bond, kama upo karibu nami basi nitaileta ili nipate hicho kiasi cha fedha.
Karibuni kwa maoni, ushauri na msaada.
Wenu katika ujenzi wa taifa Mmanyanigho
Nipo tukuyu mbeya.