Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,791
- 1,940
Habari wa jamvi, nahitaji msaa wenu hata ushauri tu unatosha,
Nina sabufa aina ya Sunder ilikata sauti gafra baada ya dogo kufungulia volume kubwa, sasa ikawa haitoi sauti kuanzia kwenye besi na twita zake, ila kwa upande wa twita moja ukiweka sikioni unasikia kwa mbali kama umeplay music.
Hivyo nahitaji ushauri tatizo ni nini ili niende kwa fundi nikijuwa tatizo linarekebishika au ndo nimeshaipoteza
Nina sabufa aina ya Sunder ilikata sauti gafra baada ya dogo kufungulia volume kubwa, sasa ikawa haitoi sauti kuanzia kwenye besi na twita zake, ila kwa upande wa twita moja ukiweka sikioni unasikia kwa mbali kama umeplay music.
Hivyo nahitaji ushauri tatizo ni nini ili niende kwa fundi nikijuwa tatizo linarekebishika au ndo nimeshaipoteza