mwmbeki
Member
- Apr 8, 2017
- 91
- 124
Ndugu wapendwa nawasalimu katika bwana na Mohammad
Mara nyingi napopata matatizo katika shughuli zangu napenda kuwashirikisha ili nipate pa kuanzia.
nawashkuru sana wote ambao hunipatia msaada wa mawazo na hakika unisaidia
Leo lalamiko langu ni hili hapa:
Mimi nafanya biashara mbali mbali ikiwemo na ya mapooltable.hapa jijin arusha namiliki mapooltable 3 ambayo yako sehem tofautitofauti za jiji. kwa mujibu wa sheria za nchi pooltable ni miongoni mwa michezo ya kubahatisha kama ile ya Biko,tatu mzuka,beting n.k
mchezo huu umekuja juu na unapendwa sana na watu wa rika zote wakiwemo na watoto.na umekuwa hadi na mashindano kuanzia ngazi ya kata,tarafa,wilaya,mkoa,kitaifa na kimataifa..mfano mwaka juzi kimataifa ya Africa mchezo huu ulidhaminiwa na Tanzania ambapo nchi nying za Africa zilishiriki zikiwemo Africa kusin,Lesotho,Botswana,Malawi,uganda,Kenya na nyingine nyingi fainali ilifanyikia Tanzania daresalaam kama wadhamin,manake na sisi tulishiriki ambapo mshindi wa kwanza alijinyakulia kitita cha million tano za kitanzania.
kwa mujibu wa rais wa nchi yetu mh magufuli alitoa mwongozo kuhusu mchezo huu baada ya kuona vijana wengi hawafanyi kazi waanamkia kwenye mapool table.
tarehe 15/3/2016 alipokuwa akiwaapisha wakuu wa mikoa katika viunga vya ikulu aliwaagiza hivi: "naomba ninukuhu
watakao cheza pool table kabla ya sa 10,wakamatwe wapelekwe polisi wakatoe faini ya laki 3kila mmoja.mapool table yafunguliwe sa 10 baada ya kazi siku za wikendi yafunguliwe sa 4 asubuhi ili watu wafanye kazi kwanza" mwisho wa kunukuu.
Jana tar 31/1/2018 kijana wangu wa kazi aliingiwa na tamaa ya pesa baada ya kushawishiwa na Wateja wa pooltable na kufungua sa 9 mchana,ndo mtendaji akawakuta na kuchukua kete na fimbo za kuchezea baada ya kuwakamata wachezaji na kuwapeleka polisi wakalipe faini kama raisi alivyoelekeza,na anasema alikuwa hajui kuwa kuna pooltable kwenye himaya yake,akasema hataki pooltable kwenye himaya yake ya uongozi hivyo nilihamishe nipeleke kwingine. kinyume kabsa na sheria za nchi, nimchukulie hatua zipi??
nsaidien wapendwa.
Mara nyingi napopata matatizo katika shughuli zangu napenda kuwashirikisha ili nipate pa kuanzia.
nawashkuru sana wote ambao hunipatia msaada wa mawazo na hakika unisaidia
Leo lalamiko langu ni hili hapa:
Mimi nafanya biashara mbali mbali ikiwemo na ya mapooltable.hapa jijin arusha namiliki mapooltable 3 ambayo yako sehem tofautitofauti za jiji. kwa mujibu wa sheria za nchi pooltable ni miongoni mwa michezo ya kubahatisha kama ile ya Biko,tatu mzuka,beting n.k
mchezo huu umekuja juu na unapendwa sana na watu wa rika zote wakiwemo na watoto.na umekuwa hadi na mashindano kuanzia ngazi ya kata,tarafa,wilaya,mkoa,kitaifa na kimataifa..mfano mwaka juzi kimataifa ya Africa mchezo huu ulidhaminiwa na Tanzania ambapo nchi nying za Africa zilishiriki zikiwemo Africa kusin,Lesotho,Botswana,Malawi,uganda,Kenya na nyingine nyingi fainali ilifanyikia Tanzania daresalaam kama wadhamin,manake na sisi tulishiriki ambapo mshindi wa kwanza alijinyakulia kitita cha million tano za kitanzania.
kwa mujibu wa rais wa nchi yetu mh magufuli alitoa mwongozo kuhusu mchezo huu baada ya kuona vijana wengi hawafanyi kazi waanamkia kwenye mapool table.
tarehe 15/3/2016 alipokuwa akiwaapisha wakuu wa mikoa katika viunga vya ikulu aliwaagiza hivi: "naomba ninukuhu
watakao cheza pool table kabla ya sa 10,wakamatwe wapelekwe polisi wakatoe faini ya laki 3kila mmoja.mapool table yafunguliwe sa 10 baada ya kazi siku za wikendi yafunguliwe sa 4 asubuhi ili watu wafanye kazi kwanza" mwisho wa kunukuu.
Jana tar 31/1/2018 kijana wangu wa kazi aliingiwa na tamaa ya pesa baada ya kushawishiwa na Wateja wa pooltable na kufungua sa 9 mchana,ndo mtendaji akawakuta na kuchukua kete na fimbo za kuchezea baada ya kuwakamata wachezaji na kuwapeleka polisi wakalipe faini kama raisi alivyoelekeza,na anasema alikuwa hajui kuwa kuna pooltable kwenye himaya yake,akasema hataki pooltable kwenye himaya yake ya uongozi hivyo nilihamishe nipeleke kwingine. kinyume kabsa na sheria za nchi, nimchukulie hatua zipi??
nsaidien wapendwa.