Wilson Joseph
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 302
- 248
Habari nawasalim ! Nina mtoto wa kiume umri wake ni miaka 2.3, Tangu kuzaliwa kwake hakua na shida sana ila wakati anavyozidi kukua homa za hapa na pale hazimuishi zaidi kukohoa, Kadi ya Kriniki sasa inaonyesha kwenye grey tumejaribu sana kwa namna zote kumtaftia na kumpa vyakula stahiki sawia na ushauri wa wataalam ila hali bado ipo ivo, Adi saa hii naandika nipo mbali na nyumbani nimepokea simu anaumwa mno kichwa nasubiri kupambazuke niende, Nafaham na nna amini kuna wataalam hapa kwa dhati kabisa naombeni msaada wenu wa kitabibu nimsaidie mwanangu TAFADHARI
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app