.wapendwa hope wote mko fine!
1.naombeni mnisaidie kwa anayejua kodi ya mwezi kwa sehemu inayotosha kufanya mgahawa kariakoo au posta.
2.nataka kununua shamba morogoro lkn sijui ni jinsi gani watu wanafanya wanapotaka kutafuta shamba lakununua na sina mwenyeji huko wakunisaidia kutafuta na pia ningependa kununua kwa kutumia njia za kiserikali,hivyo naomba kwa anayejua juu ya haya maswala anipe japo mwanga.
thanx in advance.
1.naombeni mnisaidie kwa anayejua kodi ya mwezi kwa sehemu inayotosha kufanya mgahawa kariakoo au posta.
2.nataka kununua shamba morogoro lkn sijui ni jinsi gani watu wanafanya wanapotaka kutafuta shamba lakununua na sina mwenyeji huko wakunisaidia kutafuta na pia ningependa kununua kwa kutumia njia za kiserikali,hivyo naomba kwa anayejua juu ya haya maswala anipe japo mwanga.
thanx in advance.