mandingo 94
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 270
- 190
habari za mida marafiki natumini ni wazima bc tumshuru mungu na hatujalie afya nzuri.
Masada wenu
mim ni mkulima mdogo wa mboga mboga nina muda wa mwaka mmoja sas nataka kulima nyanya mungu akijalia ila cjui A wala B nina shamba eka 1 sehemu nzuri tu maji ya kutosha
Muongozo wenu
jinsi ya kuandaa kitalu nakina chukuwa siku ngapi.
mbelea gani zinazo faa kuanza hadi kumaliza kuvuna.
madawa gani niwenayo ili likitokea jambo niwe haraka kutibu
na kingine naomba mchanganuo wa bajeti mzima
..................... asateni na karibuni wajuzi
Masada wenu
mim ni mkulima mdogo wa mboga mboga nina muda wa mwaka mmoja sas nataka kulima nyanya mungu akijalia ila cjui A wala B nina shamba eka 1 sehemu nzuri tu maji ya kutosha
Muongozo wenu
jinsi ya kuandaa kitalu nakina chukuwa siku ngapi.
mbelea gani zinazo faa kuanza hadi kumaliza kuvuna.
madawa gani niwenayo ili likitokea jambo niwe haraka kutibu
na kingine naomba mchanganuo wa bajeti mzima
..................... asateni na karibuni wajuzi