Msaada wenu kwangu ni muhimu sana

mandingo 94

JF-Expert Member
Apr 9, 2018
270
190
habari za mida marafiki natumini ni wazima bc tumshuru mungu na hatujalie afya nzuri.

Masada wenu

mim ni mkulima mdogo wa mboga mboga nina muda wa mwaka mmoja sas nataka kulima nyanya mungu akijalia ila cjui A wala B nina shamba eka 1 sehemu nzuri tu maji ya kutosha

Muongozo wenu

jinsi ya kuandaa kitalu nakina chukuwa siku ngapi.

mbelea gani zinazo faa kuanza hadi kumaliza kuvuna.

madawa gani niwenayo ili likitokea jambo niwe haraka kutibu

na kingine naomba mchanganuo wa bajeti mzima

..................... asateni na karibuni wajuzi
 
Back
Top Bottom