Peter Majaliwa
Senior Member
- Jun 16, 2017
- 161
- 30
Niko Chuo cha Muyoge, nasoma kozi ya Clinical Medicine ninapitia wakati mgumu sana katika maisha yangu ambapo imenifanya niingie kwenye mgogoro wa nafsi maana mazingira ya chuo nilichopo na ufundishaji hayaridhishi.
Mgogoro wangu wa nafsi nataka nihamie chuo kingine ambapo moyo wangu utaridhika na kuweza kujituma kufikia malengo yangu nasio niendelee kujazwa maneno yasiyokuwa na ukweli wowote yanayotolewa na wanafunzi na uongozi wa chuo hiki nilichopo.
Kozi hii nilipenda kuisoma mwenyewe sijalazimishwa na mtu. Nilitaka nihamie Mlimba Morogoro ili niweze kufikia malengo.
Nisadieni ushauri vinginevyo nitafeli maana kozi hii bila kujituma na kuiweka moyoni sitafikia malengo.
Naombeni sana sana munisadie wanajamvi. Kila kukicha mawazo, kuchekwa na kulia.
Nisadieni niweze kufarijika na kuanza kufikia mafanikio 2020 kwa kufanya vyvema katika hili. Mimi nipo mwaka wa kwanza, semester one.
Mgogoro wangu wa nafsi nataka nihamie chuo kingine ambapo moyo wangu utaridhika na kuweza kujituma kufikia malengo yangu nasio niendelee kujazwa maneno yasiyokuwa na ukweli wowote yanayotolewa na wanafunzi na uongozi wa chuo hiki nilichopo.
Kozi hii nilipenda kuisoma mwenyewe sijalazimishwa na mtu. Nilitaka nihamie Mlimba Morogoro ili niweze kufikia malengo.
Nisadieni ushauri vinginevyo nitafeli maana kozi hii bila kujituma na kuiweka moyoni sitafikia malengo.
Naombeni sana sana munisadie wanajamvi. Kila kukicha mawazo, kuchekwa na kulia.
Nisadieni niweze kufarijika na kuanza kufikia mafanikio 2020 kwa kufanya vyvema katika hili. Mimi nipo mwaka wa kwanza, semester one.