cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Wadau hii leo ni kama siku ya pili nachoka sana mwili na mapigo ya moyo yananienda mbio sana
Kama week moja iliyopita nilihisi hali hii lkn ikanibidi niende kwa dokta akanipima malaria nikawa nayo nne na nikapatiwa dawa lkn baada ya kumaliza dozi ya malaria hali ile inajirudia tena ss naomba msaada wa mawazo jamani!
Kama week moja iliyopita nilihisi hali hii lkn ikanibidi niende kwa dokta akanipima malaria nikawa nayo nne na nikapatiwa dawa lkn baada ya kumaliza dozi ya malaria hali ile inajirudia tena ss naomba msaada wa mawazo jamani!