Piga simu uulizie. ila usishangae wakikuambia web site yao ina matatizo. Bado hata wizara nyingi za serikali hata zile zenye TOVUTI hazitambui kama email ni njia ya mawasiliano
Unaweza kuliona hilo kwenye adress zao sijaona wizara zikiweka email adress. wanaweka simu na fax tu
Unakumbuka muheshimiwa Rais JK alivyopokea maswali ya wananchi email adress iliyotumika ? Ilikuwa ni ya yahoo.
Ebu jaribu kupiga simu uwaulize number zao waambie wakuunganishe na mkurugenzi au kitengo cha ICT.
Ministry of Communication, Science and Technology
P.O. Box 2645
Dar es Salaam, Tanzania
Tel: +255 22 2116531
Fax: +255 2112751
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.